Latest Transfer Updates
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’, ameendelea kuwa kimya kuhusu tetesi zinazomhusisha na vigogo wa soka la Tanzania,...
Clara Luvanga aweka historia Marekani, asajiliwa kwa rekodi Tanzania
Mchezaji wa Kimataifa wa timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania, Clara Luvanga, ameandika historia mpya katika soka la wanawake baada ya k...
Morocco apindua meza TRA United, kumrithi Ndayirajige
Klabu ya TRA United inatajwa kumteua kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Tanzania, Hemed Suleiman (56), kuwa kocha mpya wa timu hiyo, aki...
Ziyech aagana na afrika, aanza safari mpya Brazil na Botafogo
Winga na kiungo mshambuliaji raia wa Morocco, Hakim Ziyech, amefikia makubaliano ya awali ya kujiunga na Botafogo ya Brazil, akiwa mcheza...
Chelsea yasalitiwa kwa lamine siku ya mwisho ya usajili
Chelsea wamekumbwa na pigo kubwa siku ya mwisho ya dirisha la usajili baada ya Monaco kuvunja dili la kumsajili kiungo Lamine Camara, lic...
Gabriel Jesus atambulishwa rasmi Barcelona
Klabu ya Barcelona imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Brazil, Gabriel Jesus, kutoka Arsenal katika usajili unaotarajiwa kuongeza ngu...
Mabula aibukia JS Kabylie
Kiungo wa kimataifa wa Tanzania, Alphonce Mabula Msanga, hatimaye ameibukia katika klabu ya JS Kabylie ya Algeria, baada ya kuhusishwa kw...
Atlético Madrid Yampa Julián Álvarez Dili la €120M kwa Barcelona Januari.
Atlético Madrid imeripotiwa kumpa Julián Álvarez makubaliano ya maandishi yanayoweza kufungua njia ya kuhamia Barcel...
Barcelona yamnasa Gabriel Jesus Kutoka Arsenal
Barcelona imefikia makubaliano ya kushtukiza na Arsenal kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa Brazil, Gabriel Jesus.Jesus, mwenye...
Alvarez akosa mazoezi siku tatu katika sakata la kuhama
Hali ya sintofahamu imeendelea kumzunguka mshambuliaji wa Argentina, Julian Alvarez, ndani ya Atletico Madrid, huku mchezaji huyo akikosa...
Rafael Leão Ajiunga na Aston Villa kwa Mkopo.
Aston Villa imekamilisha dili la kumsajili winga wa kimataifa wa Ureno, Rafael Leão, kutoka AC Milan kwa mkopo. Kwa mujibu wa taar...
Liverpool Wakubaliana na PSG Kumsajili Bradley Barcola
Liverpool wamefikia makubaliano na Paris Saint-Germain (PSG) kwa ajili ya kumsajili winga wa kimataifa wa Ufaransa, Bradley Barcola, kati...
Aucho aibukia Sidama Bunna FC ya Ethiopia
Kiungo wa zamani wa Yanga, Khalid Aucho amejiunga rasmi na klabu ya Sidama Bunna FC ya Ethiopia.Aucho amesaini mkataba wa mwaka mm...
Liverpool waingia mbio za kumsajili winga wa Senegal Ismaila Sarr
Liverpool wameingia kwenye mbio za kumsajili mshambuliaji wa pembeni wa Crystal Palace, Ismaila Sarr, baada ya kuanza mazungumzo na klabu...
Rasmi: Yanga Wamkopesha Ninju Kwenda Polisi Tanzania
Beki wa Yanga SC, Abubakar Nizar “Ninju”, ametolewa kwa mkopo wa msimu mmoja na kujiunga na Polisi Tanzania kwa lengo la kump...
Ayyoub Bouaddi atua Manchester City kwa ada ya rekodi
Manchester City imekamilisha usajili wa kiungo wa kimataifa wa Morocco, Ayyoub Bouaddi, kutoka Lille ya Ufaransa, katika usajili unaovunj...
Xabi Alonso - Enzo Akiondoka Chelsea Sitoshangaa
Kocha wa Chelsea, Xabi Alonso, amesema hatoshangaa iwapo kiungo Enzo Fernández ataondoka Stamford Bridge katika dirisha hili la us...