International, Transfer News, Arsenal, Barcelona, Transfer, LA LIGA, EPL, Gabriel Jesus

Barcelona yamnasa Gabriel Jesus Kutoka Arsenal

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said
β€’
30 Aug 2026
Barcelona yamnasa Gabriel Jesus Kutoka Arsenal

Barcelona imefikia makubaliano ya kushtukiza na Arsenal kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa Brazil, Gabriel Jesus.

Jesus, mwenye umri wa miaka 29, anatarajiwa kusafiri kwenda Hispania mapema wiki hii kwa ajili ya vipimo vya afya, huku Arsenal ikiwa tayari imemruhusu kusafiri ili kukamilisha taratibu za uhamisho huo.

Barcelona inatarajiwa kulipa kiasi cha €10 milioni pamoja na nyongeza ili kumpata mshambuliaji huyo, ada ambayo ni ndogo ikilinganishwa na thamani yake ya soko inayokadiriwa kuwa kati ya €16 milioni na €17 milioni.

Usajili huo unakuja baada ya siku kadhaa za sintofahamu kuhusu mustakabali wa Jesus huko Arsenal, ambapo mshambuliaji huyo alikuwa nje ya mazoezi ya kikosi cha kwanza na alitarajiwa kuondoka klabuni hapo kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili.

Kwa mujibu wa Mundo Deportivo, usajili huo ulisukumwa na Mkurugenzi wa Michezo wa Barcelona, Deco, huku klabu hiyo ikitarajia kukamilisha dili hilo ndani ya saa 24 zijazo.

More Stories

Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
2h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
4h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
8h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
8h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
9h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
11h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
14h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
21h ago
READ MORE β†’
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
1d ago
READ MORE β†’