Local, Normal News, Singida BS, Mashujaa FC

Kimoto akalia kuti kavu baada ya kipigo dhidi ya Mashujaa Fc

Joel JJ By Joel JJ
β€’
2d ago
Kimoto akalia kuti kavu baada ya kipigo dhidi ya Mashujaa Fc

Mustakabali wa Kocha Mkuu wa Singida Black Stars, Papy Kimoto, ndani ya kikosi hicho unadaiwa kuwa shakani, huku kukiwa na ripoti kuwa uongozi wa klabu hiyo unafikiria kumfuta kazi kufuatia kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma leo.

Habari kutoka ndani ya klabu hiyo zinasema kuwa, mbali na matokeo hayo mabaya ya uwanjani, hakuna maelewano mazuri kati ya kocha huyo raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na mabosi wake.

Chanzo cha kuaminika kimebainisha kuwa mgogoro huo ulisababishwa na hitaji la Kocha Kimoto kutaka wachezaji wote waliosafiri kwenda Sudan Kusini kwa ajili ya michuano ya CAF kuelekea moja kwa moja Kigoma.

Hata hivyo, uongozi ulikataa mpango huo kwa sababu za kiuchumi na kiwepesi, na badala yake ukaagiza wachezaji 12 pekee wasafiri kwa ndege kuungana na kikosi kilichokuwa kimebaki Singida, jambo ambalo linatajwa kumkasirisha kocha huyo.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
3h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
6h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
10h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
12h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
12h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
13h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
15h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
18h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’