Local, Normal News, Simba, Yanga, Chama, Ligi kuu bara

Chama aweka wazi kinachoendelea nje ya uwanja, si sehemu ya maisha yangu

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said
β€’
2d ago
Chama aweka wazi kinachoendelea nje ya uwanja, si sehemu ya maisha yangu

Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Clatous Chama, amesema mambo yanayoendelea nje ya uwanja kuhusu yeye si sehemu ya maisha anayoyahusudu na wala hayamkatishi tamaa katika kuendelea na majukumu yake ya soka.

Chama ameyasema hayo leo wakati wa tukio la Media Day lililofanyika katika Uwanja wa MO Arena, Bunju jijini Dar es Salaam, huku kauli yake ikija wakati ambapo kumekuwa na mjadala kuhusu uhusiano wake na klabu yake ya zamani, Yanga SC.

Nyota huyo wa Zambia amesisitiza kuwa anachagua kuendelea kuzingatia maisha yake ya soka na majukumu yake ndani ya Simba, badala ya kuathiriwa na mambo yanayoendelea nje ya uwanja.

More Stories

Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
3h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
5h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
7h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
9h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
9h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
9h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
11h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
15h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
22h ago
READ MORE β†’
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
1d ago
READ MORE β†’