Local, Normal News, NBC Premier League, Mashujaa Fc, Singida Black Stars

NBC PREMIER LEAGUE: Mashujaa na Singida Bs kuingia kwenye vita ya kusaka alama tatu.

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
β€’
2d ago
NBC PREMIER LEAGUE: Mashujaa na Singida Bs kuingia kwenye vita ya kusaka alama tatu.

Ni siku ya mchezo mwingine wa NBC Premier League, ambapo Mashujaa FC itakuwa mwenyeji wa Singida Black Stars leo saa 10:00 jioni katika uwanja wa Lake Tanganyika Stadium.Singida Black Stars wameamua kukataa unyonge na kuendelea na ratiba yao ya ligi licha ya kuwa kwenye kipindi kigumu cha ratiba kutokana na ushiriki wao katika mashindano ya CAF Confederation Cup.

Kikosi hicho kinahitaji kusawazisha nguvu kati ya ligi ya ndani na mashindano ya kimataifa, jambo linalofanya mchezo wa leo kuwa mtihani mwingine muhimu kwa Singida Black Stars.

Baada ya mchezo huu, Singida Black Stars hawatapata muda mrefu wa kupumzika, kwani wataendelea na maandalizi ya mchezo wao unaofuata wa CAF Confederation Cup, hivyo ratiba yao inaendelea kuwa na changamoto kubwa. 

Macho yote sasa yanaelekezwa Lake Tanganyika Stadium, kuona kama Mashujaa wataitumia vyema nafasi ya kucheza nyumbani au Singida Black Stars wataondoka na pointi muhimu kwenye safari yao ya NBC Premier League.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
4h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
8h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
9h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
11h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
13h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
14h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
14h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
16h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
19h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’