Local, Normal News, NBC Premier League, TRA United

Rasmi: TRA yamfuta kazi kocha Etienne Ndayiragije.

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
β€’
4d ago
Rasmi: TRA yamfuta kazi kocha Etienne Ndayiragije.

TRA United imefanya uamuzi wa kumuondoa kazini kocha wao Etienne Ndayiragije, kufuatia mwenendo usioridhisha wa timu katika kipindi cha hivi karibuni.

Leo, uongozi wa TRA United ulikutana katika kikao kizito cha kutathmini hali ya timu, ambapo kikao hicho kimehitimishwa kwa uamuzi wa kuachana na Ndayiragije.

Kocha huyo sasa anaondoka kwenye benchi la TRA United, huku uongozi ukitarajiwa kuchukua hatua zaidi kuhakikisha timu inarejea kwenye mwenendo mzuri wa matokeo.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
3h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
6h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
10h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
12h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
12h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
13h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
15h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
18h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’