Local, Normal News, Yanga, Sele Day, Ally kamwe, CAFCL, Gaborone united

Kamwe atangaza sele day kuingamiza Gaborone, mashabiki yanga watakiwa kuiga style yake

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said
β€’
4d ago
Kamwe atangaza sele day kuingamiza Gaborone, mashabiki yanga watakiwa kuiga style yake

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Shaban Kamwe, ametangaza kuwa mchezo wa marudiano dhidi ya Gaborone United utakaochezwa Jumamosi katika Uwanja wa Azam Complex utakuwa maalum kwa ajili ya kumuenzi mshambuliaji Selemani Mwalimu “Gomez”, kwa kuutaja kama “Sele Day.”

Kamwe amewataka mashabiki wa Yanga watakaofika uwanjani kuonyesha upendo kwa nyota huyo kwa kuiga mtindo wake, hususan muonekano wa ndevu ambao umeanza kuhusishwa na Mwalimu tangu alipofunga bao la kusawazisha dhidi ya Gaborone United katika mchezo wa mkondo wa kwanza nchini Botswana.

Hatua hiyo inalenga kuongeza hamasa na msisimko kuelekea mchezo huo muhimu wa Ligi ya Mabingwa Afrika, huku Yanga ikitafuta matokeo yatakayoisaidia kuvuka hatua ya awali baada ya kutoka sare ya 1-1 katika mchezo wa kwanza. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Jumamosi katika Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
2h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
5h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
7h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
9h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
11h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
12h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
12h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
14h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
17h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’