Local, Normal News, Yanga, Manqoba, CAFCL, CAF, Tanzania, Gaborone

Yanga inazidi kuimarika na tunataka ubingwa wa afrika : Manqoba

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said
β€’
4d ago
Yanga inazidi kuimarika na tunataka ubingwa wa afrika : Manqoba

Kocha Mkuu wa Yanga SC, Manqoba Mngqithi, amesema kikosi chake kinaendelea kuimarika na kuahidi kufanya vizuri katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United, utakaochezwa Jumamosi.

Yanga imerejea nchini baada ya kutoka Botswana ambako ilicheza mchezo wa mkondo wa kwanza wa hatua ya awali dhidi ya Gaborone United na kutoka sare ya 1-1. Gaborone United ilitangulia kufunga kabla ya Selemani Mwalimu kuisawazishia Yanga katika dakika za nyongeza, akimalizia pasi ya Mudathir Yahya iliyoanzishwa na Maxi Nzengeli.

Akizungumzia maandalizi ya mchezo huo, Mngqithi amesema anaamini timu yake itaendelea kuonyesha maendeleo na kupigania ushindi utakaoiwezesha kufuzu hatua inayofuata. Kocha huyo pia amesisitiza azma ya Yanga ya kupigania taji la Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, huku akiwataka mashabiki kuendelea kuiunga mkono timu katika safari hiyo ya kimataifa.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
5h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
10h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
17h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’