Leo ni Yanga Media Day, waandishi wa habari wakifurika uwanja wa KMC Complex kupata taarifa mbalimbali kuhusu klabu ya Yanga pamoja na kufanya mahojiano moja kwa moja na wachezaji, benchi la ufundi na viongozi mbalimbali.
Idadi ya waandishi waliojitokeza KMC Complex leo, pengine inaweza kuwa rekodi mpya..!









