Mpya

Gamondi atembelea Yanga, ateta na Manqoba

Shabiki NambaMoja By Shabiki NambaMoja
β€’
2d ago
Gamondi atembelea Yanga, ateta na Manqoba

Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' Miguel Gamondi ameendelea na ziara ya kutembelea Klabu za Ligi Kuu ya NBC leo akiitembelea klabu ya Yanga.

Lengo la ziara likiwa ni kubadilishana mawazo na kufanya kazi kwa karibu ili kuimarisha mahusiano ya klabu na timu za Taifa.

Kocha Mkuu wa Yanga Manqoba Mngqithi alishiriki kikao hicho akiambatana na baadhi ya maafisa wa benchi la ufundi na viongozi wa Yanga.

More Stories

Toure anajiamini, atafunga sana
Toure anajiamini, atafunga sana
3h ago
READ MORE β†’
Manqoba aondoka na tuzo ya ligi kuu August
Manqoba aondoka na tuzo ya ligi kuu August
6h ago
READ MORE β†’
Mwalimu awaalika Wananchi SELE DAY
Mwalimu awaalika Wananchi SELE DAY
6h ago
READ MORE β†’
Hatutawadharau Gaborone United - Manqoba
Hatutawadharau Gaborone United - Manqoba
6h ago
READ MORE β†’
Aziz Ki apunguziwa presha Yanga
Aziz Ki apunguziwa presha Yanga
9h ago
READ MORE β†’
Sele Day tiketi zinaelekea ukingoni
Sele Day tiketi zinaelekea ukingoni
10h ago
READ MORE β†’
Manqoba na ndoto ya fainali ligi ya mabingwa
Manqoba na ndoto ya fainali ligi ya mabingwa
10h ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
13h ago
READ MORE β†’
Pacome aongoza hamasa KMC Complex
Pacome aongoza hamasa KMC Complex
1d ago
READ MORE β†’
Media Day; Manqoba, Kamwe wafunguka mipango ya kuikabili Gaborone United
Media Day; Manqoba, Kamwe wafunguka mipango ya kuikabili Gaborone United
1d ago
READ MORE β†’