Mpya

Wapinzani wa Yanga, Gaborone United kutua Alhamisi

Shabiki NambaMoja By Shabiki NambaMoja
β€’
2d ago
Wapinzani wa Yanga, Gaborone United kutua Alhamisi

Wakati kikosi cha Yanga kikiendelea na maandalizi yake kuelekea mchezo wa marudiano ligi ya mabingwa dhidi ya Gaborone United, timu hiyo kutoka Botswana inatarajiwa kuwasili nchini kesho Alhamisi,

Mchezo wa mkondo wa pili kuwania tiketi ya kufuzu raundi ya kwanza ya michuano hiyo, utapigwa Jumamosi, Septemba 12 katika uwanja wa Azam Complex.

Baada ya sare ya bao 1-1 katika mchezo wa kwanza uliopigwa Botswana, Yanga inahitaji ushindi ili kufuzu raundi ya kwanza.

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amewataka mashabiki kununua tikezi mapema ili kujaza dimba la Azam Complex na kuwapelekea ujumbe wapinzani wao kuwa Jumamosi ni siku ya Wananchi.

More Stories

Toure anajiamini, atafunga sana
Toure anajiamini, atafunga sana
3h ago
READ MORE β†’
Manqoba aondoka na tuzo ya ligi kuu August
Manqoba aondoka na tuzo ya ligi kuu August
6h ago
READ MORE β†’
Mwalimu awaalika Wananchi SELE DAY
Mwalimu awaalika Wananchi SELE DAY
6h ago
READ MORE β†’
Hatutawadharau Gaborone United - Manqoba
Hatutawadharau Gaborone United - Manqoba
6h ago
READ MORE β†’
Aziz Ki apunguziwa presha Yanga
Aziz Ki apunguziwa presha Yanga
9h ago
READ MORE β†’
Sele Day tiketi zinaelekea ukingoni
Sele Day tiketi zinaelekea ukingoni
10h ago
READ MORE β†’
Manqoba na ndoto ya fainali ligi ya mabingwa
Manqoba na ndoto ya fainali ligi ya mabingwa
10h ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
13h ago
READ MORE β†’
Pacome aongoza hamasa KMC Complex
Pacome aongoza hamasa KMC Complex
1d ago
READ MORE β†’
Media Day; Manqoba, Kamwe wafunguka mipango ya kuikabili Gaborone United
Media Day; Manqoba, Kamwe wafunguka mipango ya kuikabili Gaborone United
1d ago
READ MORE β†’