Mpya

Profesa wa boli anaendelea kuimarika

Shabiki NambaMoja By Shabiki NambaMoja
β€’
3d ago
Profesa wa boli anaendelea kuimarika

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe leo alimtembelea kiungo mshambuliaji Pacome Zouzoua ambaye anauguza jeraha la mguu.

Pacome anaendelea na matibabu kufuatia jeraha alilopata Juni 30 kwenye mchezo wa ligi kuu dhidi ya JKT Tanzania.

Mashabiki wa Yanga wamekuwa na shauku kubwa kupata taarifa juu ya hali yake, Kamwe amesema anaendelea vyema

Pacome anatarajiwa kuungana na mashabiki wa Yanga kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Gaborone United utakaopigwa Jumamosi, Septemba 12 uwanja wa Azam Complex.

More Stories

Toure anajiamini, atafunga sana
Toure anajiamini, atafunga sana
3h ago
READ MORE β†’
Manqoba aondoka na tuzo ya ligi kuu August
Manqoba aondoka na tuzo ya ligi kuu August
6h ago
READ MORE β†’
Mwalimu awaalika Wananchi SELE DAY
Mwalimu awaalika Wananchi SELE DAY
6h ago
READ MORE β†’
Hatutawadharau Gaborone United - Manqoba
Hatutawadharau Gaborone United - Manqoba
6h ago
READ MORE β†’
Aziz Ki apunguziwa presha Yanga
Aziz Ki apunguziwa presha Yanga
9h ago
READ MORE β†’
Sele Day tiketi zinaelekea ukingoni
Sele Day tiketi zinaelekea ukingoni
10h ago
READ MORE β†’
Manqoba na ndoto ya fainali ligi ya mabingwa
Manqoba na ndoto ya fainali ligi ya mabingwa
10h ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
13h ago
READ MORE β†’
Pacome aongoza hamasa KMC Complex
Pacome aongoza hamasa KMC Complex
1d ago
READ MORE β†’
Media Day; Manqoba, Kamwe wafunguka mipango ya kuikabili Gaborone United
Media Day; Manqoba, Kamwe wafunguka mipango ya kuikabili Gaborone United
1d ago
READ MORE β†’