Mpya

Libasse ameweka kabatini tuzo ya kwanza ya ligi kuu msimu huu

Mwana Msimbazi By Mwana Msimbazi
β€’
7h ago
Libasse ameweka kabatini tuzo ya kwanza ya ligi kuu msimu huu

Kiungo mshambuliaji wa Simba Libasse Gueye ametangazwa kuwa mchezaji bora wa ligi kuu ya NBC kwa mwezi August 2026.

Libasse ametwaa tuzo hiyo baada ya kuonyesha kiwango kizuri mwezi August ambapo alihusika kwenye mabao sita yaliyofungwa na Simba.

Alitoa pasi tano za mabao huku pia akifunga bao moja. Katika kinyang'anyiro hicho amewashinda Maxi Nzengeli wa Yanga na Oscar Mwajanga wa Mbeya City.

More Stories

Simba yakamilisha maandalizi dimba la Uhuru
Simba yakamilisha maandalizi dimba la Uhuru
4h ago
READ MORE β†’
Mighty Wonderes wawasili Dar usiku
Mighty Wonderes wawasili Dar usiku
11h ago
READ MORE β†’
Makgalwa ajipa muda zaidi Simba
Makgalwa ajipa muda zaidi Simba
12h ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
14h ago
READ MORE β†’
Mighty Wonderers kutua nchini leo, Simba yawaandalia dozi
Mighty Wonderers kutua nchini leo, Simba yawaandalia dozi
1d ago
READ MORE β†’
Kibabage ameanza mazoezi mepesi
Kibabage ameanza mazoezi mepesi
1d ago
READ MORE β†’
Chama apotezea kelele za mitandaoni, aweka msimamo
Chama apotezea kelele za mitandaoni, aweka msimamo
1d ago
READ MORE β†’
Oura anaamini huu utakuwa msimu bora kwa Simba
Oura anaamini huu utakuwa msimu bora kwa Simba
1d ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Alhamisi, Septemba 10 2026
Magazeti ya leo Alhamisi, Septemba 10 2026
1d ago
READ MORE β†’