Mpya

Mighty Wonderes wawasili Dar usiku

Mwana Msimbazi By Mwana Msimbazi
β€’
11h ago
Mighty Wonderes wawasili Dar usiku

Timu ya Mighty Wonderers ya Malawi imewasili nchini kuelekea mchezo wa marudiano wa ligi ya mabingwa dhidi ya wenyeji wao Simba.

Mchezo huo unatarajiwa kupigwa Jumapili, Septemba 13 katika uwanja wa Uhuru.

Simba itaingia kwenye mchezo huo ikiwa na faida ya ushindi wa bao 1-0 ambao walipata kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza nchini Malawi.

Wekundu hao wa Msimbazi watahitaji ushindi au matokeo yoyote ya sare ili kutinga raundi ya kwanza.

More Stories

Simba yakamilisha maandalizi dimba la Uhuru
Simba yakamilisha maandalizi dimba la Uhuru
4h ago
READ MORE β†’
Libasse ameweka kabatini tuzo ya kwanza ya ligi kuu msimu huu
Libasse ameweka kabatini tuzo ya kwanza ya ligi kuu msimu huu
7h ago
READ MORE β†’
Makgalwa ajipa muda zaidi Simba
Makgalwa ajipa muda zaidi Simba
11h ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
14h ago
READ MORE β†’
Mighty Wonderers kutua nchini leo, Simba yawaandalia dozi
Mighty Wonderers kutua nchini leo, Simba yawaandalia dozi
1d ago
READ MORE β†’
Kibabage ameanza mazoezi mepesi
Kibabage ameanza mazoezi mepesi
1d ago
READ MORE β†’
Chama apotezea kelele za mitandaoni, aweka msimamo
Chama apotezea kelele za mitandaoni, aweka msimamo
1d ago
READ MORE β†’
Oura anaamini huu utakuwa msimu bora kwa Simba
Oura anaamini huu utakuwa msimu bora kwa Simba
1d ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Alhamisi, Septemba 10 2026
Magazeti ya leo Alhamisi, Septemba 10 2026
1d ago
READ MORE β†’