Mpya

Kuzishuhudia Simba vs Mighty Wonderers kiingilio buku tano

Mwana Msimbazi By Mwana Msimbazi
β€’
2d ago
Kuzishuhudia Simba vs Mighty Wonderers kiingilio buku tano

Kuelekea mchezo wa mkondo wa pili hatua ya awali ligi ya mabingwa barani Afrika (CAFCL) kati ya Simba dhidi ya Mighty Wonderers, viingilio vya mchezo huo vimetangazwa.

Jumapili Septemba 13 dimba la Uhuru litawashuhudia mashabiki wa Simba wakiujaza uwanja huo katika mchezo ambao Wekundu wa Msimbazi watakuwa wakisaka matokeo ya ushindi ili kutinga raundi ya kwanza.

Simba itaingia kwenye mchezo huo ikiwa na faida ya ushindi wa bao 1-0 waliopata ugenini, Malawi.

More Stories

Simba yakamilisha maandalizi dimba la Uhuru
Simba yakamilisha maandalizi dimba la Uhuru
4h ago
READ MORE β†’
Libasse ameweka kabatini tuzo ya kwanza ya ligi kuu msimu huu
Libasse ameweka kabatini tuzo ya kwanza ya ligi kuu msimu huu
7h ago
READ MORE β†’
Mighty Wonderes wawasili Dar usiku
Mighty Wonderes wawasili Dar usiku
11h ago
READ MORE β†’
Makgalwa ajipa muda zaidi Simba
Makgalwa ajipa muda zaidi Simba
11h ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
14h ago
READ MORE β†’
Mighty Wonderers kutua nchini leo, Simba yawaandalia dozi
Mighty Wonderers kutua nchini leo, Simba yawaandalia dozi
1d ago
READ MORE β†’
Kibabage ameanza mazoezi mepesi
Kibabage ameanza mazoezi mepesi
1d ago
READ MORE β†’
Chama apotezea kelele za mitandaoni, aweka msimamo
Chama apotezea kelele za mitandaoni, aweka msimamo
1d ago
READ MORE β†’
Oura anaamini huu utakuwa msimu bora kwa Simba
Oura anaamini huu utakuwa msimu bora kwa Simba
1d ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Alhamisi, Septemba 10 2026
Magazeti ya leo Alhamisi, Septemba 10 2026
1d ago
READ MORE β†’