Mpya

Simba yarejea mazoezini kuiwinda Mighty Wonderers

Mwana Msimbazi By Mwana Msimbazi
β€’
2d ago
Simba yarejea mazoezini kuiwinda Mighty Wonderers

Baada ya mapumziko ya siku moja, kikosi cha Simba leo kinarejea mazoezi kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa mkondo wa pili hatua ya awali ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya Mighty Wonderers.

Jumapili Septemba 13 Simba itakuwa mwenyeji wa Mighty Wonderers katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.

Kikosi cha kocha Steve Barker kimedhamiria kumaliza kazi iliyobaki dimba la Uhuru baada ya ushindi wa bao 1-0 ugenini.

Simba inahitaji ushindi au matokeo yoyote ya sare ili kufuzu raundi ya kwanza.

More Stories

Simba yakamilisha maandalizi dimba la Uhuru
Simba yakamilisha maandalizi dimba la Uhuru
3h ago
READ MORE β†’
Libasse ameweka kabatini tuzo ya kwanza ya ligi kuu msimu huu
Libasse ameweka kabatini tuzo ya kwanza ya ligi kuu msimu huu
6h ago
READ MORE β†’
Mighty Wonderes wawasili Dar usiku
Mighty Wonderes wawasili Dar usiku
10h ago
READ MORE β†’
Makgalwa ajipa muda zaidi Simba
Makgalwa ajipa muda zaidi Simba
11h ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
13h ago
READ MORE β†’
Mighty Wonderers kutua nchini leo, Simba yawaandalia dozi
Mighty Wonderers kutua nchini leo, Simba yawaandalia dozi
1d ago
READ MORE β†’
Kibabage ameanza mazoezi mepesi
Kibabage ameanza mazoezi mepesi
1d ago
READ MORE β†’
Chama apotezea kelele za mitandaoni, aweka msimamo
Chama apotezea kelele za mitandaoni, aweka msimamo
1d ago
READ MORE β†’
Oura anaamini huu utakuwa msimu bora kwa Simba
Oura anaamini huu utakuwa msimu bora kwa Simba
1d ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Alhamisi, Septemba 10 2026
Magazeti ya leo Alhamisi, Septemba 10 2026
1d ago
READ MORE β†’