Mpya

Gamondi atua Msimbazi, ateta na Barker, CEO

Mwana Msimbazi By Mwana Msimbazi
β€’
3d ago
Gamondi atua Msimbazi, ateta na Barker, CEO

Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Miguel Gamondi, ameongozana na maafisa wa benchi la ufundi pamoja na viongozi wa TFF katika ziara ya Simba SC, ikiwa ni sehemu ya kujenga na kuimarisha ushirikiano kati ya klabu hiyo na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), hususan katika masuala yanayohusu Timu za Taifa.

Ziara hiyo inalenga kuimarisha Mawasiliano na mahusiano kati ya Simba na TFF, ili pande hizo ziweze kufanya kazi kwa pamoja kwa manufaa ya Taifa Stars.

Gamondi ndiye Kocha Mkuu wa Taifa Stars, huku TFF ikiendelea kumshirikisha pamoja na benchi lake la ufundi katika mipango na maandalizi ya timu ya taifa.

More Stories

Simba yakamilisha maandalizi dimba la Uhuru
Simba yakamilisha maandalizi dimba la Uhuru
11h ago
READ MORE β†’
Libasse ameweka kabatini tuzo ya kwanza ya ligi kuu msimu huu
Libasse ameweka kabatini tuzo ya kwanza ya ligi kuu msimu huu
14h ago
READ MORE β†’
Mighty Wonderes wawasili Dar usiku
Mighty Wonderes wawasili Dar usiku
18h ago
READ MORE β†’
Makgalwa ajipa muda zaidi Simba
Makgalwa ajipa muda zaidi Simba
18h ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
21h ago
READ MORE β†’
Mighty Wonderers kutua nchini leo, Simba yawaandalia dozi
Mighty Wonderers kutua nchini leo, Simba yawaandalia dozi
1d ago
READ MORE β†’
Kibabage ameanza mazoezi mepesi
Kibabage ameanza mazoezi mepesi
1d ago
READ MORE β†’
Chama apotezea kelele za mitandaoni, aweka msimamo
Chama apotezea kelele za mitandaoni, aweka msimamo
1d ago
READ MORE β†’
Oura anaamini huu utakuwa msimu bora kwa Simba
Oura anaamini huu utakuwa msimu bora kwa Simba
1d ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Alhamisi, Septemba 10 2026
Magazeti ya leo Alhamisi, Septemba 10 2026
1d ago
READ MORE β†’