Mpya

Mnyama amemaliza kazi Malawi

Mwana Msimbazi By Mwana Msimbazi
β€’
4d ago
Mnyama amemaliza kazi Malawi

Kikosi cha Simba kimeondoka Malawi kurejea Tanzania kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa mkondo wa pili hatua ya awali ligi ya mabingwa dhidi ya Mighty Wonderers utakaopigwa Jumapili Septemba 13 uwanja wa Uhuru.

Simba itakuwa na muda wa kutosha kujiandaa na mchezo huo ambao Wekundu wa Msimbazi watahitaji ushindi au sare ya aina yoyote ili kutinga raundi ya kwanza.

More Stories

Simba yakamilisha maandalizi dimba la Uhuru
Simba yakamilisha maandalizi dimba la Uhuru
10h ago
READ MORE β†’
Libasse ameweka kabatini tuzo ya kwanza ya ligi kuu msimu huu
Libasse ameweka kabatini tuzo ya kwanza ya ligi kuu msimu huu
13h ago
READ MORE β†’
Mighty Wonderes wawasili Dar usiku
Mighty Wonderes wawasili Dar usiku
17h ago
READ MORE β†’
Makgalwa ajipa muda zaidi Simba
Makgalwa ajipa muda zaidi Simba
18h ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
20h ago
READ MORE β†’
Mighty Wonderers kutua nchini leo, Simba yawaandalia dozi
Mighty Wonderers kutua nchini leo, Simba yawaandalia dozi
1d ago
READ MORE β†’
Kibabage ameanza mazoezi mepesi
Kibabage ameanza mazoezi mepesi
1d ago
READ MORE β†’
Chama apotezea kelele za mitandaoni, aweka msimamo
Chama apotezea kelele za mitandaoni, aweka msimamo
1d ago
READ MORE β†’
Oura anaamini huu utakuwa msimu bora kwa Simba
Oura anaamini huu utakuwa msimu bora kwa Simba
1d ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Alhamisi, Septemba 10 2026
Magazeti ya leo Alhamisi, Septemba 10 2026
1d ago
READ MORE β†’