Mamia ya mashabiki wa Simba wamesafiri nchini Malawi kuipa sapoti yimu yao kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Mighty Wonderers utakaopigwa kesho Jumapili kwenye uwanja wa Bingu.
Ni tuko nadra kushuhudiwa kwenye soka la Afrika, lakini limefanywa na mashabiki wa Simba ambao kwao sio jambo kubwa.
Hata Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) linatambua Simba ndio klabu yenye mashabiki bora barani Afrika!
Wanalunyasi wanaonesha ubora wao ugenini huko Malawi..!



