Mpya

A strong Simba is coming - Magori

Mwana Msimbazi By Mwana Msimbazi
11 Apr 2024
A strong Simba is coming - Magori

After a long silence, one of the former senior leaders of Simba Crescentius Magori has scared Simba fans that happy times are about to return

Magoria who is currently an adviser to the honorary president of the Simba club Mohammed Dewji 'Mo', has said that the right way to restore the kingdom of Simba is not to fight but to cooperate

He said Mo has assured him that he will continue to cooperate with the leadership to ensure that Simba continues to dominate football in Tanzania and even Africa

Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, Magori ameandika ujumbe huu;

Wana-Simba naomba tutulie! Hakuna safari isiyokuwa na mabonde wala miinuko!

Safari ya Simba mpya ilianza mwaka 2018, safari ambayo mpaka sasa haijakamilika! Mategemeo ya kila Mwana-Simba ni kuwa baada ya mabadiliko ya Katiba ya mwaka huu (2024) January, Serikali itakamilisha mchakato huo hivi karibuni!

Katika kipindi hiki cha miaka 6 ya Simba mpya, Timu imepiga hatua kubwa kimaendeleo kama ifuatavyo;

1. Kutoka katika Timu isiyojulikana ni ya ngapi Afrika (unranked) mpaka namba 5 Afrika
2. Kutoka bajeti ya Tshs 3bn mpaka bajeti ya zaidi ya Tshs 20bn
3. ⁠Timu imechukua Ubingwa wa Tanzania mara 4
4. ⁠Ubingwa wa FA mara 3
5. ⁠Ngao ya jamii mara 4
6. ⁠Robo fainali ya Champions league mara 4
7. ⁠Robo fainali ya Confederation Cup mara 1
8. ⁠Ushiriki wa African Football league katika Timu 8 bora Afrika
9. ⁠Viwanja vyake vya mazoezi
10. ⁠Team ya Wanawake Simba Queens kuchukua Ubingwa mara 3
11. ⁠Team ya Wanawake Simba Queena kufika Nusu Fainali ya Champions League ya wanawake Africa

Mafanikio haya katika kipindi cha miaka 6 siyo madogo kwa namna yoyote ile! Hakuna Timu yoyote Tanzania iliyowahi kufikia mafanikio haya!

Hongera Mo Dewji, Bodi ya Simba na Menejimenti ya Klabu, Walimu, Wachezaji na kila Mwana-Simba!

Nafahamu hamu ya Wanasimba ni kurudisha Ufalme wetu hapa nyumbani na kuvuka hatua ya robo fainali kwenye michuano ya CAF!

Ndoto hizi haziwezi kufikiwa kwa mabishano, mvurugano na ugomvi bali kwa kukaa chini na kujipanga kimkakati!

Naomba niwahakikishie baada ya mazungumzo na Raisi wa Heshima wa Klabu Mohamed Dewji naomba niwatoe hofu kuwa Mo hajawahi kuiacha Simba na hataiacha Simba na kuanzia sasa atashirikiana na Uongozi kujipanga upya kurudisha heshima ya Simba na kuzidi kuimarika!

Tuachane na kelele za mitandaoni, tuwe nyuma ya Timu yetu! Simba imara inakuja!

Simba nguvu moja!

More Stories

Simba Train at Uhuru Stadium Ahead of Mighty Wanderers Decider
Simba Train at Uhuru Stadium Ahead of Mighty Wanderers Decider
8h ago
READ MORE →
Libasse Gueye Named NBC Premier League Player of the Month for August
Libasse Gueye Named NBC Premier League Player of the Month for August
11h ago
READ MORE →
Mighty Wanderers Arrive in Tanzania Ahead of Simba CAF Champions League Clash
Mighty Wanderers Arrive in Tanzania Ahead of Simba CAF Champions League Clash
15h ago
READ MORE →
Makgalwa Asks for Patience as He Adapts to Life at Simba
Makgalwa Asks for Patience as He Adapts to Life at Simba
15h ago
READ MORE →
Today's Newspapers, Friday, September 11, 2026
Today's Newspapers, Friday, September 11, 2026
18h ago
READ MORE →
Mighty Wanderers Arrive in Tanzania Ahead of Simba Return Leg
Mighty Wanderers Arrive in Tanzania Ahead of Simba Return Leg
1d ago
READ MORE →
Kibabage Begins Light Training as Simba Injury List Shows Signs of Relief
Kibabage Begins Light Training as Simba Injury List Shows Signs of Relief
1d ago
READ MORE →
Clatous Chama Unfazed by Off-Field Talk as He Focuses on Simba
Clatous Chama Unfazed by Off-Field Talk as He Focuses on Simba
1d ago
READ MORE →
Oura Backs Simba for Bigger CAF Champions League Success
Oura Backs Simba for Bigger CAF Champions League Success
1d ago
READ MORE →
Today's Newspapers, Thursday, September 10th, 2026
Today's Newspapers, Thursday, September 10th, 2026
1d ago
READ MORE →